Mark 15:20

20 aWalipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.

Kusulubiwa Kwa Isa

(Mathayo 27:32-44; Luka 23:26-43; Yohana 19:17-27)

Copyright information for SwhKC